Al-Fajr · 18/30
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Fajr
وَلَا تَحَاضُّونَ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ ۝١٨
Wa laa tahaaaddoona `alaata`aamil miskeen
📖 Kwa Kiswahili
Wala hamhimizani kulisha masikini;
🎧 Sikiliza

📜 Aya 16-20 — Al-Fajr

16وَأَمَّا إِذَا مَا ابْتَلَاهُ فَقَدَرَ عَلَيْهِ رِزْقَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَهَانَنِ
Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!
17كَلَّا ۖ بَل لَّا تُكْرِمُونَ الْيَتِيمَ
Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
18وَلَا تَحَاضُّونَ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ
Wala hamhimizani kulisha masikini;
19وَتَأْكُلُونَ التُّرَاثَ أَكْلًا لَّمًّا
Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,
20وَتُحِبُّونَ الْمَالَ حُبًّا جَمًّا
Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.
Al-FajrFaharasa ya Qurani
30Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — Al-Fajr 18

Sura Al-Fajr Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala hamhimizani kulisha masikini;

Sura Aya 18/30 — Al-Fajr الفجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Fajr Sikiliza, Al-Fajr Tafsiri, Al-Fajr mp3, Al-Fajr pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema