Ash-Shu'ara · 155/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
قَالَ هَٰذِهِ نَاقَةٌ لَّهَا شِرْبٌ وَلَكُمْ شِرْبُ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ ۝١٥٥
Qaala haazihee naaqatul lahaa shirbunw w alakum shirbu yawmim ma`loom
📖 Kwa Kiswahili
Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa, na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 153-157 — Ash-Shu'ara

153قَالُوا إِنَّمَا أَنتَ مِنَ الْمُسَحَّرِينَ
Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa walio rogwa.
154مَا أَنتَ إِلَّا بَشَرٌ مِّثْلُنَا فَأْتِ بِآيَةٍ إِن كُنتَ مِنَ الصَّادِقِينَ
Wewe si chochote ila ni mtu kama sisi. Basi lete Ishara ukiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli.
155قَالَ هَٰذِهِ نَاقَةٌ لَّهَا شِرْبٌ وَلَكُمْ شِرْبُ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ
Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa, na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu.
156وَلَا تَمَسُّوهَا بِسُوءٍ فَيَأْخُذَكُمْ عَذَابُ يَوْمٍ عَظِيمٍ
Wala msimguse kwa uwovu, isije ikakushikeni adhabu ya Siku Kubwa.
157فَعَقَرُوهَا فَأَصْبَحُوا نَادِمِينَ
Lakini wakamuuwa, na wakawa wenye kujuta.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
155Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 155

Sura Ash-Shu'ara Aya 155 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa,…

Sura Aya 155/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 153–157. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema