Ash-Shu'ara · 208/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَمَا أَهْلَكْنَا مِن قَرْيَةٍ إِلَّا لَهَا مُنذِرُونَ ۝٢٠٨
Wa maaa ahlaknaa min qaryatin illaa lahaa munziroon
📖 Kwa Kiswahili
Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -
🎧 Sikiliza

📜 Aya 206-210 — Ash-Shu'ara

206ثُمَّ جَاءَهُم مَّا كَانُوا يُوعَدُونَ
Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
207مَا أَغْنَىٰ عَنْهُم مَّا كَانُوا يُمَتَّعُونَ
Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?
208وَمَا أَهْلَكْنَا مِن قَرْيَةٍ إِلَّا لَهَا مُنذِرُونَ
Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -
209ذِكْرَىٰ وَمَا كُنَّا ظَالِمِينَ
Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.
210وَمَا تَنَزَّلَتْ بِهِ الشَّيَاطِينُ
Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
208Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 208

Sura Ash-Shu'ara Aya 208 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -

Sura Aya 208/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 206–210. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema