Ash-Shu'ara · 210/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَمَا تَنَزَّلَتْ بِهِ الشَّيَاطِينُ ۝٢١٠
Wa maa tanazzalat bihish Shayaateen
📖 Kwa Kiswahili
Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 208-212 — Ash-Shu'ara

208وَمَا أَهْلَكْنَا مِن قَرْيَةٍ إِلَّا لَهَا مُنذِرُونَ
Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -
209ذِكْرَىٰ وَمَا كُنَّا ظَالِمِينَ
Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.
210وَمَا تَنَزَّلَتْ بِهِ الشَّيَاطِينُ
Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,
211وَمَا يَنبَغِي لَهُمْ وَمَا يَسْتَطِيعُونَ
Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.
212إِنَّهُمْ عَنِ السَّمْعِ لَمَعْزُولُونَ
Hakika hao wametengwa na kusikia.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
210Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 210

Sura Ash-Shu'ara Aya 210 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,

Sura Aya 210/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 208–212. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema