As-Saffat · 12/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
بَلْ عَجِبْتَ وَيَسْخَرُونَ ۝١٢
Bal`ajibta wa yaskharoon
📖 Kwa Kiswahili
Bali unastaajabu, na wao wanafanya maskhara.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 10-14 — As-Saffat

10إِلَّا مَنْ خَطِفَ الْخَطْفَةَ فَأَتْبَعَهُ شِهَابٌ ثَاقِبٌ
Isipo kuwa anaye nyakua kitu kidogo, na mara humfwatia kimondo kinacho ng'ara.
11فَاسْتَفْتِهِمْ أَهُمْ أَشَدُّ خَلْقًا أَم مَّنْ خَلَقْنَا ۚ إِنَّا خَلَقْنَاهُم مِّن طِينٍ لَّازِبٍ
Hebu waulize: Je! Wao ni wenye umbo gumu zaidi au hao wengine tulio waumba. Hakika Sisi tuliwaumba wao kwa udongo unao nata.
12بَلْ عَجِبْتَ وَيَسْخَرُونَ
Bali unastaajabu, na wao wanafanya maskhara.
13وَإِذَا ذُكِّرُوا لَا يَذْكُرُونَ
Na wanapo kumbushwa hawakumbuki.
14وَإِذَا رَأَوْا آيَةً يَسْتَسْخِرُونَ
Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — As-Saffat 12

Sura As-Saffat Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Bali unastaajabu, na wao wanafanya maskhara.

Sura Aya 12/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema