As-Saffat · 16/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ ۝١٦
A-izaa mitnaa wa kunnaa turaabanw wa `izaaman `ainnaa lamab`oosoon
📖 Kwa Kiswahili
Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 14-18 — As-Saffat

14وَإِذَا رَأَوْا آيَةً يَسْتَسْخِرُونَ
Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara.
15وَقَالُوا إِنْ هَٰذَا إِلَّا سِحْرٌ مُّبِينٌ
Na husema: Haya si chochote ila ni uchawi tu ulio dhaahiri.
16أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?
17أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ
Hata baba zetu wa zamani?
18قُلْ نَعَمْ وَأَنتُمْ دَاخِرُونَ
Sema: Naam! Hali nanyi ni madhalili.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
16Aya

Tafsiri — As-Saffat 16

Sura As-Saffat Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli…

Sura Aya 16/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema