Ad-Dukhan · 42/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
إِلَّا مَن رَّحِمَ اللَّهُ ۚ إِنَّهُ هُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ ۝٤٢
Illaa mar rahimal laah` innahoo huwal `azeezur raheem
📖 Kwa Kiswahili
Isipo kuwa atakaye mrehemu Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 40-44 — Ad-Dukhan

40إِنَّ يَوْمَ الْفَصْلِ مِيقَاتُهُمْ أَجْمَعِينَ
Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote.
41يَوْمَ لَا يُغْنِي مَوْلًى عَن مَّوْلًى شَيْئًا وَلَا هُمْ يُنصَرُونَ
Siku ambayo rafiki hatamfaa rafiki yake kwa chochote, wala hawatanusuriwa.
42إِلَّا مَن رَّحِمَ اللَّهُ ۚ إِنَّهُ هُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Isipo kuwa atakaye mrehemu Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
43إِنَّ شَجَرَتَ الزَّقُّومِ
Hakika Mti wa Zaqqum,
44طَعَامُ الْأَثِيمِ
Ni chakula cha mwenye dhambi.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
42Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 42

Sura Ad-Dukhan Aya 42 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Isipo kuwa atakaye mrehemu Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye…

Sura Aya 42/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 40–44. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema