An-Najm · 24/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
أَمْ لِلْإِنسَانِ مَا تَمَنَّىٰ ۝٢٤
Am lil insaani maa taman naa
📖 Kwa Kiswahili
Ati mtu anakipata kila anacho kitamani?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 22-26 — An-Najm

22تِلْكَ إِذًا قِسْمَةٌ ضِيزَىٰ
Huo ni mgawanyo wa dhulma!
23إِنْ هِيَ إِلَّا أَسْمَاءٌ سَمَّيْتُمُوهَا أَنتُمْ وَآبَاؤُكُم مَّا أَنزَلَ اللَّهُ بِهَا مِن سُلْطَانٍ ۚ إِن يَتَّبِعُونَ إِلَّا الظَّنَّ وَمَا تَهْوَى الْأَنفُسُ ۖ وَلَقَدْ جَاءَهُم مِّن رَّبِّهِمُ الْهُدَىٰ
Hayo hayakuwa ila ni majina mliyo wapa nyinyi na baba zenu. Mwenyezi Mungu hakuleta uthibitisho wowote juu ya hayo. Hawafuati ila dhana tu na kipendacho nafsi. Na kwa yakini uwongofu ulikwisha wafikia kutoka kwa Mola wao Mlezi.
24أَمْ لِلْإِنسَانِ مَا تَمَنَّىٰ
Ati mtu anakipata kila anacho kitamani?
25فَلِلَّهِ الْآخِرَةُ وَالْأُولَىٰ
Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera.
26۞ وَكَم مِّن مَّلَكٍ فِي السَّمَاوَاتِ لَا تُغْنِي شَفَاعَتُهُمْ شَيْئًا إِلَّا مِن بَعْدِ أَن يَأْذَنَ اللَّهُ لِمَن يَشَاءُ وَيَرْضَىٰ
Na wako Malaika wangapi mbinguni, ambao uombezi wao hautafaa chochote isipo kuwa baada ya Mwenyezi Mungu kutoa idhini kwa amtakaye na kumridhia.
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
24Aya

Tafsiri — An-Najm 24

Sura An-Najm Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ati mtu anakipata kila anacho kitamani?

Sura Aya 24/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema