An-Najm · 34/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
وَأَعْطَىٰ قَلِيلًا وَأَكْدَىٰ ۝٣٤
Wa a`taa qaleelanw wa akdaa
📖 Kwa Kiswahili
Na akatoa kidogo, kisha akajizuia?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 32-36 — An-Najm

32الَّذِينَ يَجْتَنِبُونَ كَبَائِرَ الْإِثْمِ وَالْفَوَاحِشَ إِلَّا اللَّمَمَ ۚ إِنَّ رَبَّكَ وَاسِعُ الْمَغْفِرَةِ ۚ هُوَ أَعْلَمُ بِكُمْ إِذْ أَنشَأَكُم مِّنَ الْأَرْضِ وَإِذْ أَنتُمْ أَجِنَّةٌ فِي بُطُونِ أُمَّهَاتِكُمْ ۖ فَلَا تُزَكُّوا أَنفُسَكُمْ ۖ هُوَ أَعْلَمُ بِمَنِ اتَّقَىٰ
Ambao wanajiepusha na madhambi makuu na vitendo vichafu, isipo kuwa makosa khafifu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mkunjufu wa maghfira, naye anakujueni sana tangu alipo kuumbeni kutoka kwenye ardhi, na mlipo kuwa mimba matumboni mwa mama zenu. Basi msijisifu usafi. Yeye anamjua sana mwenye kujikinga na maovu.
33أَفَرَأَيْتَ الَّذِي تَوَلَّىٰ
Je! Umemwona yule aliye geuka?
34وَأَعْطَىٰ قَلِيلًا وَأَكْدَىٰ
Na akatoa kidogo, kisha akajizuia?
35أَعِندَهُ عِلْمُ الْغَيْبِ فَهُوَ يَرَىٰ
Je! Anayo huyo ilimu ya ghaibu, basi ndio anaona?
36أَمْ لَمْ يُنَبَّأْ بِمَا فِي صُحُفِ مُوسَىٰ
Au hakuambiwa yaliyomo katika Vitabu vya Musa?
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
34Aya

Tafsiri — An-Najm 34

Sura An-Najm Aya 34 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na akatoa kidogo, kisha akajizuia?

Sura Aya 34/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 32–36. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema