An-Najm · 52/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
وَقَوْمَ نُوحٍ مِّن قَبْلُ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا هُمْ أَظْلَمَ وَأَطْغَىٰ ۝٥٢
Wa qawma Noohim min qablu innahum kaanoo hum azlama wa atghaa
📖 Kwa Kiswahili
Na kabla yao kaumu ya Nuhu. Na hao hakika walikuwa ni madhaalimu zaidi, na waovu zaidi;

🎧 Sikiliza


📜 Aya 50-54 — An-Najm

50وَأَنَّهُ أَهْلَكَ عَادًا الْأُولَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,
51وَثَمُودَ فَمَا أَبْقَىٰ
Na Thamudi hakuwabakisha,
52وَقَوْمَ نُوحٍ مِّن قَبْلُ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا هُمْ أَظْلَمَ وَأَطْغَىٰ
Na kabla yao kaumu ya Nuhu. Na hao hakika walikuwa ni madhaalimu zaidi, na waovu zaidi;
53وَالْمُؤْتَفِكَةَ أَهْوَىٰ
Na miji iliyo pinduliwa, ni Yeye aliye ipindua.
54فَغَشَّاهَا مَا غَشَّىٰ
Vikaifunika vilivyo funika.
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
52Aya

Tafsiri — An-Najm 52

Sura An-Najm Aya 52 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kabla yao kaumu ya Nuhu. Na hao hakika walikuwa…

Sura Aya 52/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 50–54. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema