Al-Haqqa · 16/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَانشَقَّتِ السَّمَاءُ فَهِيَ يَوْمَئِذٍ وَاهِيَةٌ ۝١٦
Wanshaqqatis samaaa`u fahiya yawma `izinw-waahiyah
📖 Kwa Kiswahili
Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 14-18 — Al-Haqqa

14وَحُمِلَتِ الْأَرْضُ وَالْجِبَالُ فَدُكَّتَا دَكَّةً وَاحِدَةً
Na ardhi na milima ikaondolewa, na ikavunjwa kwa mvunjo mmoja,
15فَيَوْمَئِذٍ وَقَعَتِ الْوَاقِعَةُ
Siku hiyo ndio Tukio litatukia.
16وَانشَقَّتِ السَّمَاءُ فَهِيَ يَوْمَئِذٍ وَاهِيَةٌ
Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa.
17وَالْمَلَكُ عَلَىٰ أَرْجَائِهَا ۚ وَيَحْمِلُ عَرْشَ رَبِّكَ فَوْقَهُمْ يَوْمَئِذٍ ثَمَانِيَةٌ
Na Malaika watakuwa pembezoni mwa mbingu; na wanane juu ya hawa watakuwa wamebeba Kiti cha Enzi cha Mola wako Mlezi.
18يَوْمَئِذٍ تُعْرَضُونَ لَا تَخْفَىٰ مِنكُمْ خَافِيَةٌ
Siku hiyo mtahudhurishwa - haitafichika siri yoyote yenu.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
16Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 16

Sura Al-Haqqa Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa.

Sura Aya 16/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema