Al-Muddaththir · 46/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوْمِ الدِّينِ ۝٤٦
Wa kunnaa nukazzibu bi yawmid Deen
📖 Kwa Kiswahili
Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 44-48 — Al-Muddaththir

44وَلَمْ نَكُ نُطْعِمُ الْمِسْكِينَ
Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.
45وَكُنَّا نَخُوضُ مَعَ الْخَائِضِينَ
Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
46وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.
47حَتَّىٰ أَتَانَا الْيَقِينُ
Mpaka yakini ilipo tufikia.
48فَمَا تَنفَعُهُمْ شَفَاعَةُ الشَّافِعِينَ
Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
46Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 46

Sura Al-Muddaththir Aya 46 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.

Sura Aya 46/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 44–48. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema