Al-Muddaththir · 45/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
وَكُنَّا نَخُوضُ مَعَ الْخَائِضِينَ ۝٤٥
Wa kunnaa nakhoodu ma`al khaaa`ideen
📖 Kwa Kiswahili
Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 43-47 — Al-Muddaththir

43قَالُوا لَمْ نَكُ مِنَ الْمُصَلِّينَ
Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.
44وَلَمْ نَكُ نُطْعِمُ الْمِسْكِينَ
Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.
45وَكُنَّا نَخُوضُ مَعَ الْخَائِضِينَ
Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
46وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.
47حَتَّىٰ أَتَانَا الْيَقِينُ
Mpaka yakini ilipo tufikia.
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
45Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 45

Sura Al-Muddaththir Aya 45 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.

Sura Aya 45/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 43–47. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema