Al-Mutaffifin · 17/36
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mutaffifin
ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ ۝١٧
Summa yuqaalu haazal lazee kuntum bihee tukazziboon
📖 Kwa Kiswahili
Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 15-19 — Al-Mutaffifin

15كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
16ثُمَّ إِنَّهُمْ لَصَالُو الْجَحِيمِ
Kisha wataingia Motoni!
17ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ
Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
18كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْأَبْرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ
Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
19وَمَا أَدْرَاكَ مَا عِلِّيُّونَ
Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?
Al-MutaffifinFaharasa ya Qurani
36Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — Al-Mutaffifin 17

Sura Al-Mutaffifin Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.

Sura Aya 17/36 — Al-Mutaffifin المطففين (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mutaffifin Sikiliza, Al-Mutaffifin Tafsiri, Al-Mutaffifin mp3, Al-Mutaffifin pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema