Al-Mutaffifin · 19/36
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mutaffifin
وَمَا أَدْرَاكَ مَا عِلِّيُّونَ ۝١٩
Wa maaa adraaka maa `Illiyyoon
📖 Kwa Kiswahili
Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 17-21 — Al-Mutaffifin

17ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ
Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
18كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْأَبْرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ
Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
19وَمَا أَدْرَاكَ مَا عِلِّيُّونَ
Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?
20كِتَابٌ مَّرْقُومٌ
Kitabu kilicho andikwa.
21يَشْهَدُهُ الْمُقَرَّبُونَ
Wanakishuhudia walio karibishwa.
Al-MutaffifinFaharasa ya Qurani
36Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — Al-Mutaffifin 19

Sura Al-Mutaffifin Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?

Sura Aya 19/36 — Al-Mutaffifin المطففين (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mutaffifin Sikiliza, Al-Mutaffifin Tafsiri, Al-Mutaffifin mp3, Al-Mutaffifin pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema