Al-A'la · 7/19
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-A'la
إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۚ إِنَّهُ يَعْلَمُ الْجَهْرَ وَمَا يَخْفَىٰ ۝٧
Illaa maa shaaa`al laah; innahoo ya`lamul jahra wa maa yakhfaa
📖 Kwa Kiswahili
Ila akipenda Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye anayajua yaliyo dhaahiri na yaliyo fichikana.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 5-9 — Al-A'la

5فَجَعَلَهُ غُثَاءً أَحْوَىٰ
Kisha akayafanya makavu, meusi.
6سَنُقْرِئُكَ فَلَا تَنسَىٰ
Tutakusomesha wala hutasahau,
7إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۚ إِنَّهُ يَعْلَمُ الْجَهْرَ وَمَا يَخْفَىٰ
Ila akipenda Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye anayajua yaliyo dhaahiri na yaliyo fichikana.
8وَنُيَسِّرُكَ لِلْيُسْرَىٰ
Na tutakusahilishia yawe mepesi.
9فَذَكِّرْ إِن نَّفَعَتِ الذِّكْرَىٰ
Basi kumbusha, kama kukumbusha kunafaa.
Al-A'laFaharasa ya Qurani
19Aya
MakkaRevelation
7Aya

Tafsiri — Al-A'la 7

Sura Al-A'la Aya 7 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ila akipenda Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye anayajua yaliyo dhaahiri na…

Sura Aya 7/19 — Al-A'la الأعلى (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-A'la Sikiliza, Al-A'la Tafsiri, Al-A'la mp3, Al-A'la pdf. Aya 5–9. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema