Al-Hijr · 68/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
قَالَ إِنَّ هَٰؤُلَاءِ ضَيْفِي فَلَا تَفْضَحُونِ ۝٦٨
Qaala inna haaa`ulaaa`i daifee falaa tafdahoon
📖 Kwa Kiswahili
Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 66-70 — Al-Hijr

66وَقَضَيْنَا إِلَيْهِ ذَٰلِكَ الْأَمْرَ أَنَّ دَابِرَ هَٰؤُلَاءِ مَقْطُوعٌ مُّصْبِحِينَ
Na tukamfunulia hukumu hiyo, ya kwamba hata wa mwisho wao hao ikifika asubuhi atakuwa kesha katiliwa mbali.
67وَجَاءَ أَهْلُ الْمَدِينَةِ يَسْتَبْشِرُونَ
Na wakaja watu wa mji ule nao furahani.
68قَالَ إِنَّ هَٰؤُلَاءِ ضَيْفِي فَلَا تَفْضَحُونِ
Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.
69وَاتَّقُوا اللَّهَ وَلَا تُخْزُونِ
Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.
70قَالُوا أَوَلَمْ نَنْهَكَ عَنِ الْعَالَمِينَ
Wakasema: Sisi hatukukukataza usimkaribishe yeyote?
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
68Aya

Tafsiri — Al-Hijr 68

Sura Al-Hijr Aya 68 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.

Sura Aya 68/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 66–70. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema