Al-Hijr · 69/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
وَاتَّقُوا اللَّهَ وَلَا تُخْزُونِ ۝٦٩
Wattaqul laaha wa laa tukhzoon
📖 Kwa Kiswahili
Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 67-71 — Al-Hijr

67وَجَاءَ أَهْلُ الْمَدِينَةِ يَسْتَبْشِرُونَ
Na wakaja watu wa mji ule nao furahani.
68قَالَ إِنَّ هَٰؤُلَاءِ ضَيْفِي فَلَا تَفْضَحُونِ
Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.
69وَاتَّقُوا اللَّهَ وَلَا تُخْزُونِ
Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.
70قَالُوا أَوَلَمْ نَنْهَكَ عَنِ الْعَالَمِينَ
Wakasema: Sisi hatukukukataza usimkaribishe yeyote?
71قَالَ هَٰؤُلَاءِ بَنَاتِي إِن كُنتُمْ فَاعِلِينَ
Akasema: Hawa binti zangu, ikiwa nyinyi ni watendaji.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
69Aya

Tafsiri — Al-Hijr 69

Sura Al-Hijr Aya 69 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.

Sura Aya 69/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 67–71. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema