Ash-Shu'ara · 226/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَأَنَّهُمْ يَقُولُونَ مَا لَا يَفْعَلُونَ ۝٢٢٦
Wa annahum yaqooloona ma laa yaf`aloon
📖 Kwa Kiswahili
Na kwamba wao husema wasiyo yatenda?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 224-227 — Ash-Shu'ara

224وَالشُّعَرَاءُ يَتَّبِعُهُمُ الْغَاوُونَ
Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
225أَلَمْ تَرَ أَنَّهُمْ فِي كُلِّ وَادٍ يَهِيمُونَ
Je! Huwaoni kwamba wao wanatangatanga katika kila bonde?
226وَأَنَّهُمْ يَقُولُونَ مَا لَا يَفْعَلُونَ
Na kwamba wao husema wasiyo yatenda?
227إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ وَذَكَرُوا اللَّهَ كَثِيرًا وَانتَصَرُوا مِن بَعْدِ مَا ظُلِمُوا ۗ وَسَيَعْلَمُ الَّذِينَ ظَلَمُوا أَيَّ مُنقَلَبٍ يَنقَلِبُونَ
Isipo kuwa wale walio amini, na wakatenda mema, na wakamkumbuka Mwenyezi Mungu kwa wingi, na wakajitetea wanapo dhulumiwa. Na wanao dhulumu watakuja jua mgeuko gani watakao geuka.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
226Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 226

Sura Ash-Shu'ara Aya 226 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwamba wao husema wasiyo yatenda?

Sura Aya 226/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 224–227. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema