As-Saffat · 103/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَلَمَّا أَسْلَمَا وَتَلَّهُ لِلْجَبِينِ ۝١٠٣
Falammaaa aslamaa wa tallahoo liljabeen
📖 Kwa Kiswahili
Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 101-105 — As-Saffat

101فَبَشَّرْنَاهُ بِغُلَامٍ حَلِيمٍ
Basi tukambashiria mwana aliye mpole.
102فَلَمَّا بَلَغَ مَعَهُ السَّعْيَ قَالَ يَا بُنَيَّ إِنِّي أَرَىٰ فِي الْمَنَامِ أَنِّي أَذْبَحُكَ فَانظُرْ مَاذَا تَرَىٰ ۚ قَالَ يَا أَبَتِ افْعَلْ مَا تُؤْمَرُ ۖ سَتَجِدُنِي إِن شَاءَ اللَّهُ مِنَ الصَّابِرِينَ
Basi alipo fika makamo ya kwenda na kurudi pamoja naye, alimwambia: Ewe mwanangu! Hakika mimi nimeona usingizini kuwa ninakuchinja. Basi angalia wewe, waonaje? Akasema: Ewe baba yangu! Tenda unavyo amrishwa, utanikuta mimi, Inshallah, katika wanao subiri.
103فَلَمَّا أَسْلَمَا وَتَلَّهُ لِلْجَبِينِ
Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.
104وَنَادَيْنَاهُ أَن يَا إِبْرَاهِيمُ
Tulimwita: Ewe Ibrahim!
105قَدْ صَدَّقْتَ الرُّؤْيَا ۚ إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Umekwisha itimiliza ndoto. Hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao tenda mema.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
103Aya

Tafsiri — As-Saffat 103

Sura As-Saffat Aya 103 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.

Sura Aya 103/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 101–105. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema