As-Saffat · 179/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَأَبْصِرْ فَسَوْفَ يُبْصِرُونَ ۝١٧٩
Wa absir fasawfa yubsiroon
📖 Kwa Kiswahili
Na tazama, na wao wataona.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 177-181 — As-Saffat

177فَإِذَا نَزَلَ بِسَاحَتِهِمْ فَسَاءَ صَبَاحُ الْمُنذَرِينَ
Basi itakapo shuka uwanjani kwao, itakuwa asubuhi mbaya kwa walio onywa.
178وَتَوَلَّ عَنْهُمْ حَتَّىٰ حِينٍ
Na waache kwa muda.
179وَأَبْصِرْ فَسَوْفَ يُبْصِرُونَ
Na tazama, na wao wataona.
180سُبْحَانَ رَبِّكَ رَبِّ الْعِزَّةِ عَمَّا يَصِفُونَ
Subhana Rabbi'l'Izzat Ametakasika Mola Mlezi Mwenye enzi na yale wanayo mzulia.
181وَسَلَامٌ عَلَى الْمُرْسَلِينَ
Na Salamu juu ya Mitume.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
179Aya

Tafsiri — As-Saffat 179

Sura As-Saffat Aya 179 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tazama, na wao wataona.

Sura Aya 179/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 177–181. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema