As-Saffat · 61/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
لِمِثْلِ هَٰذَا فَلْيَعْمَلِ الْعَامِلُونَ ۝٦١
Limisli haaza falya`ma lil `aamiloon
📖 Kwa Kiswahili
Kwa mfano wa haya nawatende watendao.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 59-63 — As-Saffat

59إِلَّا مَوْتَتَنَا الْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ
Isipo kuwa kifo chetu cha kwanza? Wala sisi hatutaadhibiwa.
60إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ
Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
61لِمِثْلِ هَٰذَا فَلْيَعْمَلِ الْعَامِلُونَ
Kwa mfano wa haya nawatende watendao.
62أَذَٰلِكَ خَيْرٌ نُّزُلًا أَمْ شَجَرَةُ الزَّقُّومِ
Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum?
63إِنَّا جَعَلْنَاهَا فِتْنَةً لِّلظَّالِمِينَ
Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
61Aya

Tafsiri — As-Saffat 61

Sura As-Saffat Aya 61 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa mfano wa haya nawatende watendao.

Sura Aya 61/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 59–63. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema