As-Saffat · 91/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَرَاغَ إِلَىٰ آلِهَتِهِمْ فَقَالَ أَلَا تَأْكُلُونَ ۝٩١
Faraagha ilaaa aalihatihim faqaala alaa taakuloon
📖 Kwa Kiswahili
Basi akaiendea miungu yao kwa siri, akaiambia: Mbona hamli?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 89-93 — As-Saffat

89فَقَالَ إِنِّي سَقِيمٌ
Akasema: Hakika mimi ni mgonjwa!
90فَتَوَلَّوْا عَنْهُ مُدْبِرِينَ
Nao wakamwacha, wakampa kisogo.
91فَرَاغَ إِلَىٰ آلِهَتِهِمْ فَقَالَ أَلَا تَأْكُلُونَ
Basi akaiendea miungu yao kwa siri, akaiambia: Mbona hamli?
92مَا لَكُمْ لَا تَنطِقُونَ
Mna nini hata hamsemi?
93فَرَاغَ عَلَيْهِمْ ضَرْبًا بِالْيَمِينِ
Kisha akaigeukia kuipiga kwa mkono wa kulia.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
91Aya

Tafsiri — As-Saffat 91

Sura As-Saffat Aya 91 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi akaiendea miungu yao kwa siri, akaiambia: Mbona hamli?

Sura Aya 91/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 89–93. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema