An-Najm · 46/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
مِن نُّطْفَةٍ إِذَا تُمْنَىٰ ۝٤٦
Min nutfatin izaa tumnaa
📖 Kwa Kiswahili
Kutokana na mbegu ya uzazi inapo miminwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 44-48 — An-Najm

44وَأَنَّهُ هُوَ أَمَاتَ وَأَحْيَا
Na kwamba Yeye ndiye anaye fisha na kuhuisha.
45وَأَنَّهُ خَلَقَ الزَّوْجَيْنِ الذَّكَرَ وَالْأُنثَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye aliye umba jozi, dume na jike
46مِن نُّطْفَةٍ إِذَا تُمْنَىٰ
Kutokana na mbegu ya uzazi inapo miminwa.
47وَأَنَّ عَلَيْهِ النَّشْأَةَ الْأُخْرَىٰ
Na kwamba ni juu yake ufufuo mwengine.
48وَأَنَّهُ هُوَ أَغْنَىٰ وَأَقْنَىٰ
Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
46Aya

Tafsiri — An-Najm 46

Sura An-Najm Aya 46 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kutokana na mbegu ya uzazi inapo miminwa.

Sura Aya 46/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 44–48. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema