Al-Waqi'a · 83/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
فَلَوْلَا إِذَا بَلَغَتِ الْحُلْقُومَ ۝٨٣
Falaw laaa izaa balaghatil hulqoom
📖 Kwa Kiswahili
Yawaje basi itakapo fika roho kwenye koo,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 81-85 — Al-Waqi'a

81أَفَبِهَٰذَا الْحَدِيثِ أَنتُم مُّدْهِنُونَ
Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?
82وَتَجْعَلُونَ رِزْقَكُمْ أَنَّكُمْ تُكَذِّبُونَ
Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
83فَلَوْلَا إِذَا بَلَغَتِ الْحُلْقُومَ
Yawaje basi itakapo fika roho kwenye koo,
84وَأَنتُمْ حِينَئِذٍ تَنظُرُونَ
Na nyinyi wakati huo mnatazama!
85وَنَحْنُ أَقْرَبُ إِلَيْهِ مِنكُمْ وَلَٰكِن لَّا تُبْصِرُونَ
Na Sisi tuko karibu zaidi naye kuliko nyinyi.
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
83Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 83

Sura Al-Waqi'a Aya 83 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Yawaje basi itakapo fika roho kwenye koo,

Sura Aya 83/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 81–85. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema