Al-Ma'arij · 4/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
تَعْرُجُ الْمَلَائِكَةُ وَالرُّوحُ إِلَيْهِ فِي يَوْمٍ كَانَ مِقْدَارُهُ خَمْسِينَ أَلْفَ سَنَةٍ ۝٤
Ta`rujul malaaa`ikatu war Roohu ilaihi fee yawmin kaana miqdaaruhoo khamseena alfa sanah
📖 Kwa Kiswahili
Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 2-6 — Al-Ma'arij

2لِّلْكَافِرِينَ لَيْسَ لَهُ دَافِعٌ
Kwa makafiri - ambayo hapana awezaye kuizuia -
3مِّنَ اللَّهِ ذِي الْمَعَارِجِ
Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za daraja.
4تَعْرُجُ الْمَلَائِكَةُ وَالرُّوحُ إِلَيْهِ فِي يَوْمٍ كَانَ مِقْدَارُهُ خَمْسِينَ أَلْفَ سَنَةٍ
Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!
5فَاصْبِرْ صَبْرًا جَمِيلًا
Basi subiri kwa subira njema.
6إِنَّهُمْ يَرَوْنَهُ بَعِيدًا
Hakika wao wanaiona iko mbali,
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
4Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 4

Sura Al-Ma'arij Aya 4 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri…

Sura Aya 4/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 2–6. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema