Al-Hijr · 64/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
وَأَتَيْنَاكَ بِالْحَقِّ وَإِنَّا لَصَادِقُونَ ۝٦٤
Wa atainaaka bilhaqqi wa innaa lasaadiqoon
📖 Kwa Kiswahili
Na tumefika kwako kwa Haki, na hakika sisi tunasema kweli.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 62-66 — Al-Hijr

62قَالَ إِنَّكُمْ قَوْمٌ مُّنكَرُونَ
Alisema (Luut'i): Hakika nyinyi ni watu msio juulikana.
63قَالُوا بَلْ جِئْنَاكَ بِمَا كَانُوا فِيهِ يَمْتَرُونَ
Wakasema: Bali sisi tumekuletea yale waliyo kuwa wakiyafanyia shaka.
64وَأَتَيْنَاكَ بِالْحَقِّ وَإِنَّا لَصَادِقُونَ
Na tumefika kwako kwa Haki, na hakika sisi tunasema kweli.
65فَأَسْرِ بِأَهْلِكَ بِقِطْعٍ مِّنَ اللَّيْلِ وَاتَّبِعْ أَدْبَارَهُمْ وَلَا يَلْتَفِتْ مِنكُمْ أَحَدٌ وَامْضُوا حَيْثُ تُؤْمَرُونَ
Basi ondoka na ahli zako usiku ungalipo, nawe ufuate nyuma yao, wala yeyote kati yenu asigeuke nyuma. Na mwende mnapo amrishwa.
66وَقَضَيْنَا إِلَيْهِ ذَٰلِكَ الْأَمْرَ أَنَّ دَابِرَ هَٰؤُلَاءِ مَقْطُوعٌ مُّصْبِحِينَ
Na tukamfunulia hukumu hiyo, ya kwamba hata wa mwisho wao hao ikifika asubuhi atakuwa kesha katiliwa mbali.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
64Aya

Tafsiri — Al-Hijr 64

Sura Al-Hijr Aya 64 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tumefika kwako kwa Haki, na hakika sisi tunasema kweli.

Sura Aya 64/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 62–66. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema