Al-Hijr · 84/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
فَمَا أَغْنَىٰ عَنْهُم مَّا كَانُوا يَكْسِبُونَ ۝٨٤
Famaaa aghnaa `anhum maa kaanoo yaksiboon
📖 Kwa Kiswahili
Hayakuwafaa waliyo kuwa wakiyachuma.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 82-86 — Al-Hijr

82وَكَانُوا يَنْحِتُونَ مِنَ الْجِبَالِ بُيُوتًا آمِنِينَ
Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.
83فَأَخَذَتْهُمُ الصَّيْحَةُ مُصْبِحِينَ
Basi ukelele ukawatwaa asubuhi.
84فَمَا أَغْنَىٰ عَنْهُم مَّا كَانُوا يَكْسِبُونَ
Hayakuwafaa waliyo kuwa wakiyachuma.
85وَمَا خَلَقْنَا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا إِلَّا بِالْحَقِّ ۗ وَإِنَّ السَّاعَةَ لَآتِيَةٌ ۖ فَاصْفَحِ الصَّفْحَ الْجَمِيلَ
Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake ila kwa ajili ya Haki. Na hakika Kiyama kitafika. Basi samehe msamaha mzuri.
86إِنَّ رَبَّكَ هُوَ الْخَلَّاقُ الْعَلِيمُ
Hakika Mola wako Mlezi ndiye Muumbaji Mjuzi.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
84Aya

Tafsiri — Al-Hijr 84

Sura Al-Hijr Aya 84 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hayakuwafaa waliyo kuwa wakiyachuma.

Sura Aya 84/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 82–86. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema