Al-Hijr · 91/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
الَّذِينَ جَعَلُوا الْقُرْآنَ عِضِينَ ۝٩١
Allazeena ja`alul Quraana`ideen
📖 Kwa Kiswahili
Ambao wakaifanya Qur'ani vipande vipande.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 89-93 — Al-Hijr

89وَقُلْ إِنِّي أَنَا النَّذِيرُ الْمُبِينُ
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
90كَمَا أَنزَلْنَا عَلَى الْمُقْتَسِمِينَ
Kama hivyo tuliwateremshia walio gawa,
91الَّذِينَ جَعَلُوا الْقُرْآنَ عِضِينَ
Ambao wakaifanya Qur'ani vipande vipande.
92فَوَرَبِّكَ لَنَسْأَلَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ
Basi Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote,
93عَمَّا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
91Aya

Tafsiri — Al-Hijr 91

Sura Al-Hijr Aya 91 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ambao wakaifanya Qur'ani vipande vipande.

Sura Aya 91/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 89–93. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema