Al-Hijr · 90/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
كَمَا أَنزَلْنَا عَلَى الْمُقْتَسِمِينَ ۝٩٠
Kamaaa anzalnaa `alal muqtasimeen
📖 Kwa Kiswahili
Kama hivyo tuliwateremshia walio gawa,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 88-92 — Al-Hijr

88لَا تَمُدَّنَّ عَيْنَيْكَ إِلَىٰ مَا مَتَّعْنَا بِهِ أَزْوَاجًا مِّنْهُمْ وَلَا تَحْزَنْ عَلَيْهِمْ وَاخْفِضْ جَنَاحَكَ لِلْمُؤْمِنِينَ
Usivitumbulie macho yako vitu tulivyo waneemesha makundi fulani kati yao, wala usiwahuzunikie. Na wainamishie bawa lako (la huruma) Waumini.
89وَقُلْ إِنِّي أَنَا النَّذِيرُ الْمُبِينُ
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
90كَمَا أَنزَلْنَا عَلَى الْمُقْتَسِمِينَ
Kama hivyo tuliwateremshia walio gawa,
91الَّذِينَ جَعَلُوا الْقُرْآنَ عِضِينَ
Ambao wakaifanya Qur'ani vipande vipande.
92فَوَرَبِّكَ لَنَسْأَلَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ
Basi Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote,
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
90Aya

Tafsiri — Al-Hijr 90

Sura Al-Hijr Aya 90 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kama hivyo tuliwateremshia walio gawa,

Sura Aya 90/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 88–92. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema