Maryam · 86/98
Tafsiri Uandishi wa sauti — Maryam
وَنَسُوقُ الْمُجْرِمِينَ إِلَىٰ جَهَنَّمَ وِرْدًا ۝٨٦
Wa nasooqul mujrimeena ilaa Jahannama wirdaa
📖 Kwa Kiswahili
Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 84-88 — Maryam

84فَلَا تَعْجَلْ عَلَيْهِمْ ۖ إِنَّمَا نَعُدُّ لَهُمْ عَدًّا
Basi usiwafanyie haraka. Sisi tunawahisabia idadi ya siku zao.
85يَوْمَ نَحْشُرُ الْمُتَّقِينَ إِلَى الرَّحْمَٰنِ وَفْدًا
Siku tutayo wakusanya wachamngu kuwapeleka kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa ni wageni wake.
86وَنَسُوقُ الْمُجْرِمِينَ إِلَىٰ جَهَنَّمَ وِرْدًا
Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.
87لَّا يَمْلِكُونَ الشَّفَاعَةَ إِلَّا مَنِ اتَّخَذَ عِندَ الرَّحْمَٰنِ عَهْدًا
Hawatakuwa na mamlaka ya uombezi ila wale walio chukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema..
88وَقَالُوا اتَّخَذَ الرَّحْمَٰنُ وَلَدًا
Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!
MaryamFaharasa ya Qurani
98Aya
MakkaRevelation
86Aya

Tafsiri — Maryam 86

Sura Maryam Aya 86 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.

Sura Aya 86/98 — Maryam مريم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Maryam Sikiliza, Maryam Tafsiri, Maryam mp3, Maryam pdf. Aya 84–88. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema