Maryam · 86/98
Tafsiri Uandishi wa sauti — Maryam
وَنَسُوقُ الْمُجْرِمِينَ إِلَىٰ جَهَنَّمَ وِرْدًا ٨٦
Transliteration
Wa nasooqul mujrimeena ilaa Jahannama wirdaa
Tafsiri (Kwa Kiswahili)
📖 Kwa Kiswahili
Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.
Additional reference in Soomaali
🎧 Sikiliza
📜 Aya 84-88 — Maryam
84فَلَا تَعْجَلْ عَلَيْهِمْ ۖ إِنَّمَا نَعُدُّ لَهُمْ عَدًّا
Basi usiwafanyie haraka. Sisi tunawahisabia idadi ya siku zao.
85يَوْمَ نَحْشُرُ الْمُتَّقِينَ إِلَى الرَّحْمَٰنِ وَفْدًا
Siku tutayo wakusanya wachamngu kuwapeleka kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa ni wageni wake.
86وَنَسُوقُ الْمُجْرِمِينَ إِلَىٰ جَهَنَّمَ وِرْدًا
Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.
87لَّا يَمْلِكُونَ الشَّفَاعَةَ إِلَّا مَنِ اتَّخَذَ عِندَ الرَّحْمَٰنِ عَهْدًا
Hawatakuwa na mamlaka ya uombezi ila wale walio chukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema..
88وَقَالُوا اتَّخَذَ الرَّحْمَٰنُ وَلَدًا
Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!
MaryamFaharasa ya Qurani
98Aya
MakkaRevelation
86Aya
Tafsiri — Maryam 86
Sura Maryam Aya 86 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.Sura Aya 86/98 — Maryam مريم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Maryam Sikiliza, Maryam Tafsiri, Maryam mp3, Maryam pdf. Aya 84–88. Kwa Kiswahili: Soomaali.
العربية
English
Bahasa Indonesia
Türkçe
Русский
فارسی
Français
اردو
বাংলা
Deutsch
Español
中文
हिन्दी
Português
Italiano
ภาษาไทย
Polski
Nederlands
Shqip
Kiswahili
O'zbek
தமிழ்
Melayu
Bosanski
Soomaali
Azərbaycan
کوردی
한국어
日本語
Svenska
Dansk
Norsk
پښتو
മലയാളം
සිංහල
Tamazight
Hausa
አማርኛ
Български
Тоҷикӣ
Қазақша
Filipino
سنڌي
Yorùbá
Fulfulde
Татарча
ئۇيغۇرچە
Кыргызча
ਪੰਜਾਬੀ
Jawa
తెలుగు
မြန်မာ
ગુજરાતી
Oromo
मराठी
Tiếng Việt
Malagasy
Нохчийн
Wolof
ދިވެހި
ಕನ್ನಡ
Українська
Ελληνικά
ქართული
ខ្មែរ
دری
Qafar af
Maranao
नेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema








