Ash-Shu'ara · 137/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
إِنْ هَٰذَا إِلَّا خُلُقُ الْأَوَّلِينَ ۝١٣٧
In haazaaa illaa khuluqul awwaleen
📖 Kwa Kiswahili
Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea zamani.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 135-139 — Ash-Shu'ara

135إِنِّي أَخَافُ عَلَيْكُمْ عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ
Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Kubwa.
136قَالُوا سَوَاءٌ عَلَيْنَا أَوَعَظْتَ أَمْ لَمْ تَكُن مِّنَ الْوَاعِظِينَ
Wakasema: Ni mamoja kwetu, ukitupa mawaidha au hukuwa miongoni mwa watoao mawaidha.
137إِنْ هَٰذَا إِلَّا خُلُقُ الْأَوَّلِينَ
Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea zamani.
138وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ
Wala sisi hatutaadhibiwa.
139فَكَذَّبُوهُ فَأَهْلَكْنَاهُمْ ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Wakamkanusha; nasi tukawaangamiza. Hakika bila ya shaka katika haya ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
137Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 137

Sura Ash-Shu'ara Aya 137 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea…

Sura Aya 137/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 135–139. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema