Ash-Shu'ara · 165/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
أَتَأْتُونَ الذُّكْرَانَ مِنَ الْعَالَمِينَ ۝١٦٥
Ataatoonaz zukraana minal `aalameen
📖 Kwa Kiswahili
Je! Katika viumbe vyote mnawaingilia wanaume?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 163-167 — Ash-Shu'ara

163فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi mcheni Mwenyezi Mungu na nit'iini mimi.
164وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Wala mimi sikutakini ujira juu yake; ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
165أَتَأْتُونَ الذُّكْرَانَ مِنَ الْعَالَمِينَ
Je! Katika viumbe vyote mnawaingilia wanaume?
166وَتَذَرُونَ مَا خَلَقَ لَكُمْ رَبُّكُم مِّنْ أَزْوَاجِكُم ۚ بَلْ أَنتُمْ قَوْمٌ عَادُونَ
Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!
167قَالُوا لَئِن لَّمْ تَنتَهِ يَا لُوطُ لَتَكُونَنَّ مِنَ الْمُخْرَجِينَ
Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
165Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 165

Sura Ash-Shu'ara Aya 165 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Je! Katika viumbe vyote mnawaingilia wanaume?

Sura Aya 165/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 163–167. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema