Ash-Shu'ara · 181/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
۞ أَوْفُوا الْكَيْلَ وَلَا تَكُونُوا مِنَ الْمُخْسِرِينَ ۝١٨١
Awful kaila wa laa takoonoo minal mukhsireen
📖 Kwa Kiswahili
Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 179-183 — Ash-Shu'ara

179فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
180وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
181۞ أَوْفُوا الْكَيْلَ وَلَا تَكُونُوا مِنَ الْمُخْسِرِينَ
Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja.
182وَزِنُوا بِالْقِسْطَاسِ الْمُسْتَقِيمِ
Na pimeni kwa haki iliyo nyooka;
183وَلَا تَبْخَسُوا النَّاسَ أَشْيَاءَهُمْ وَلَا تَعْثَوْا فِي الْأَرْضِ مُفْسِدِينَ
Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
181Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 181

Sura Ash-Shu'ara Aya 181 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja.

Sura Aya 181/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 179–183. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema