Ash-Shu'ara · 42/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
قَالَ نَعَمْ وَإِنَّكُمْ إِذًا لَّمِنَ الْمُقَرَّبِينَ ۝٤٢
Qaala na`am wa innakum izal laminal muqarrabeen
📖 Kwa Kiswahili
Naam! Na hakika mtakuwa katika watu wa mbele.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 40-44 — Ash-Shu'ara

40لَعَلَّنَا نَتَّبِعُ السَّحَرَةَ إِن كَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ
Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.
41فَلَمَّا جَاءَ السَّحَرَةُ قَالُوا لِفِرْعَوْنَ أَئِنَّ لَنَا لَأَجْرًا إِن كُنَّا نَحْنُ الْغَالِبِينَ
Basi walipo kuja wachawi wakamwambia Firauni: Je! Tutapata ujira tukiwa sisi ndio tulio shinda?
42قَالَ نَعَمْ وَإِنَّكُمْ إِذًا لَّمِنَ الْمُقَرَّبِينَ
Naam! Na hakika mtakuwa katika watu wa mbele.
43قَالَ لَهُم مُّوسَىٰ أَلْقُوا مَا أَنتُم مُّلْقُونَ
Musa akwaambia: Tupeni mnavyo taka kutupa.
44فَأَلْقَوْا حِبَالَهُمْ وَعِصِيَّهُمْ وَقَالُوا بِعِزَّةِ فِرْعَوْنَ إِنَّا لَنَحْنُ الْغَالِبُونَ
Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi hapana shaka ni wenye kushinda.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
42Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 42

Sura Ash-Shu'ara Aya 42 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Naam! Na hakika mtakuwa katika watu wa mbele.

Sura Aya 42/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 40–44. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema