Ash-Shu'ara · 153/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
قَالُوا إِنَّمَا أَنتَ مِنَ الْمُسَحَّرِينَ ۝١٥٣
Qaalooo innamaa anta minal musahhareen
📖 Kwa Kiswahili
Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa walio rogwa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 151-155 — Ash-Shu'ara

151وَلَا تُطِيعُوا أَمْرَ الْمُسْرِفِينَ
Wala msit'ii amri za walio pindukia mipaka,
152الَّذِينَ يُفْسِدُونَ فِي الْأَرْضِ وَلَا يُصْلِحُونَ
Ambao wanafanya ufisadi katika nchi, wala hawatengenezi.
153قَالُوا إِنَّمَا أَنتَ مِنَ الْمُسَحَّرِينَ
Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa walio rogwa.
154مَا أَنتَ إِلَّا بَشَرٌ مِّثْلُنَا فَأْتِ بِآيَةٍ إِن كُنتَ مِنَ الصَّادِقِينَ
Wewe si chochote ila ni mtu kama sisi. Basi lete Ishara ukiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli.
155قَالَ هَٰذِهِ نَاقَةٌ لَّهَا شِرْبٌ وَلَكُمْ شِرْبُ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ
Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa, na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
153Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 153

Sura Ash-Shu'ara Aya 153 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa walio rogwa.

Sura Aya 153/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 151–155. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema