As-Saffat · 163/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
إِلَّا مَنْ هُوَ صَالِ الْجَحِيمِ ۝١٦٣
Illaa man huwa saalil jaheem
📖 Kwa Kiswahili
Isipo kuwa yule atakaye ingia Motoni.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 161-165 — As-Saffat

161فَإِنَّكُمْ وَمَا تَعْبُدُونَ
Basi hakika nyinyi na mnao waabudu
162مَا أَنتُمْ عَلَيْهِ بِفَاتِنِينَ
Hamwezi kuwapoteza
163إِلَّا مَنْ هُوَ صَالِ الْجَحِيمِ
Isipo kuwa yule atakaye ingia Motoni.
164وَمَا مِنَّا إِلَّا لَهُ مَقَامٌ مَّعْلُومٌ
Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.
165وَإِنَّا لَنَحْنُ الصَّافُّونَ
Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
163Aya

Tafsiri — As-Saffat 163

Sura As-Saffat Aya 163 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Isipo kuwa yule atakaye ingia Motoni.

Sura Aya 163/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 161–165. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema