Adh-Dhariyat · 12/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
يَسْأَلُونَ أَيَّانَ يَوْمُ الدِّينِ ۝١٢
Yas`aloona ayyaana yawmud Deen
📖 Kwa Kiswahili
Wanauliza: Ni lini hiyo siku ya malipo?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 10-14 — Adh-Dhariyat

10قُتِلَ الْخَرَّاصُونَ
Wazushi wameangamizwa.
11الَّذِينَ هُمْ فِي غَمْرَةٍ سَاهُونَ
Ambao wameghafilika katika ujinga.
12يَسْأَلُونَ أَيَّانَ يَوْمُ الدِّينِ
Wanauliza: Ni lini hiyo siku ya malipo?
13يَوْمَ هُمْ عَلَى النَّارِ يُفْتَنُونَ
Hiyo ni siku watakayo adhibiwa Motoni.
14ذُوقُوا فِتْنَتَكُمْ هَٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تَسْتَعْجِلُونَ
Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 12

Sura Adh-Dhariyat Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wanauliza: Ni lini hiyo siku ya malipo?

Sura Aya 12/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema