Al-A'raf · 118/206
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-A'raf
فَوَقَعَ الْحَقُّ وَبَطَلَ مَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ۝١١٨
Fawaqa`al haqqu wa batala maa kaanoo ya`maloon
📖 Kwa Kiswahili
Kweli ikathibiti na yakabat'ilika waliyo kuwa wakiyatenda.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 116-120 — Al-A'raf

116قَالَ أَلْقُوا ۖ فَلَمَّا أَلْقَوْا سَحَرُوا أَعْيُنَ النَّاسِ وَاسْتَرْهَبُوهُمْ وَجَاءُوا بِسِحْرٍ عَظِيمٍ
Akasema: Tupeni! Basi walipo tupa waliyazuga macho ya watu na wakawatia khofu, na wakaleta uchawi mkubwa.
117۞ وَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ مُوسَىٰ أَنْ أَلْقِ عَصَاكَ ۖ فَإِذَا هِيَ تَلْقَفُ مَا يَأْفِكُونَ
Nasi tukamfunulia Musa kumwambia: Tupa fimbo yako. Mara ikavimeza vyote vile walivyo vibuni.
118فَوَقَعَ الْحَقُّ وَبَطَلَ مَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Kweli ikathibiti na yakabat'ilika waliyo kuwa wakiyatenda.
119فَغُلِبُوا هُنَالِكَ وَانقَلَبُوا صَاغِرِينَ
Kwa hivyo walishindwa hapo, na wakageuka kuwa wadogo.
120وَأُلْقِيَ السَّحَرَةُ سَاجِدِينَ
Na wachawi wakapoomoka wakisujudu.
Al-A'rafFaharasa ya Qurani
206Aya
MakkaRevelation
118Aya

Tafsiri — Al-A'raf 118

Sura Al-A'raf Aya 118 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kweli ikathibiti na yakabat'ilika waliyo kuwa wakiyatenda.

Sura Aya 118/206 — Al-A'raf الأعراف (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-A'raf Sikiliza, Al-A'raf Tafsiri, Al-A'raf mp3, Al-A'raf pdf. Aya 116–120. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema