Ash-Shu'ara · 65/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَأَنجَيْنَا مُوسَىٰ وَمَن مَّعَهُ أَجْمَعِينَ ۝٦٥
Wa anjainaa Moosaa wa mam ma`ahooo ajma`een
📖 Kwa Kiswahili
Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye wote.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 63-67 — Ash-Shu'ara

63فَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ مُوسَىٰ أَنِ اضْرِب بِّعَصَاكَ الْبَحْرَ ۖ فَانفَلَقَ فَكَانَ كُلُّ فِرْقٍ كَالطَّوْدِ الْعَظِيمِ
Tulimletea wahyi Musa tukamwambia: Piga bahari kwa fimbo yako. Basi ikatengana, na kila sehemu ikawa kama mlima mkubwa.
64وَأَزْلَفْنَا ثَمَّ الْآخَرِينَ
Na tukawajongeza hapo wale wengine.
65وَأَنجَيْنَا مُوسَىٰ وَمَن مَّعَهُ أَجْمَعِينَ
Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye wote.
66ثُمَّ أَغْرَقْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawazamisha hao wengine.
67إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
65Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 65

Sura Ash-Shu'ara Aya 65 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye wote.

Sura Aya 65/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 63–67. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema