Adh-Dhariyat · 55/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
وَذَكِّرْ فَإِنَّ الذِّكْرَىٰ تَنفَعُ الْمُؤْمِنِينَ ۝٥٥
Wa zakkir fa innaz zikraa tanfa`ul mu`mineen
📖 Kwa Kiswahili
Na kumbusha, kwani ukumbusho huwafaa Waumini.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 53-57 — Adh-Dhariyat

53أَتَوَاصَوْا بِهِ ۚ بَلْ هُمْ قَوْمٌ طَاغُونَ
Je! Wameambizana kwa haya? Bali hawa ni watu waasi.
54فَتَوَلَّ عَنْهُمْ فَمَا أَنتَ بِمَلُومٍ
Basi waachilie mbali, nawe hulaumiwi.
55وَذَكِّرْ فَإِنَّ الذِّكْرَىٰ تَنفَعُ الْمُؤْمِنِينَ
Na kumbusha, kwani ukumbusho huwafaa Waumini.
56وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ
Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.
57مَا أُرِيدُ مِنْهُم مِّن رِّزْقٍ وَمَا أُرِيدُ أَن يُطْعِمُونِ
Na sitaki kwao riziki, wala sitaki wanilishe.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
55Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 55

Sura Adh-Dhariyat Aya 55 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kumbusha, kwani ukumbusho huwafaa Waumini.

Sura Aya 55/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 53–57. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema